|
Kanisa Jipya linalojengwa Mwiseni katika Wilaya ya Bunda Mkoani Mara |
|
|
Samwel Leppanen Mungu akubariki kwa sapoti yako kwa Kanisa hili la Mwiseni/Kisorya FPCT.
|
Kanisa la P.A.G Kisorya Bunda Mara lililoanguka kwa sababu ya Mvua iliyokua na upepo mkali. |
Washirika hawana sehemu ya kuabudia kwa sasa, hivyo wanakusanyika chini ya Miti, tuombe Mungu awasaidie ili waweze kupata jengo jingine watakalolitumia kumwabudu Mungu
|
Kanisa la FPCT Kisorya Bunda Mara likiwa kwenye Ujenzi |
No comments:
Post a Comment